Swali: Jibini zenye kutoka nje zimekuwa nyingi kwa majina mbalimbali na wako wanaosema kuwa ni haramu kwa sababu kuna asilimia ya mafuta ya nguruwe ndani yake. Ni yepi maoni yako?
Jibu: Tumemwandikia waziri wa biashara na akasema kuwa zimesalimika na kwamba hazina kitu. Msingi ni kusalimika isipokuwa baada ya kuthibiti kitu kwa yakini. Waziri wa biashara amesema kuwa bidhaa hizi zinazoingia ni zenye kuangaliwa vyema na hazina kitu katika yanayohusiana na nguruwe.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/3804/حكم-الاجبان-المعلبة-المستوردة
- Imechapishwa: 02/06/2022
Swali: Jibini zenye kutoka nje zimekuwa nyingi kwa majina mbalimbali na wako wanaosema kuwa ni haramu kwa sababu kuna asilimia ya mafuta ya nguruwe ndani yake. Ni yepi maoni yako?
Jibu: Tumemwandikia waziri wa biashara na akasema kuwa zimesalimika na kwamba hazina kitu. Msingi ni kusalimika isipokuwa baada ya kuthibiti kitu kwa yakini. Waziri wa biashara amesema kuwa bidhaa hizi zinazoingia ni zenye kuangaliwa vyema na hazina kitu katika yanayohusiana na nguruwe.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/3804/حكم-الاجبان-المعلبة-المستوردة
Imechapishwa: 02/06/2022
https://firqatunnajia.com/jibini-zinazoshukiwa-kuwa-na-nguruwe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)