Je, ni Sunnah kumbeba maiti kwa kutanguliza kichwa chake mbele?

Swali: Je, ni Sunnah kumbeba maiti kwa kutanguliza kichwa chake mbele?

Jibu: Sitambui juu ya hilo Sunnah yoyote kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lakini maneno ya wanazuoni wanapozungumzia namna ya kumbeba maiti yanapelekea kichwa chake ndio kiwe kwa mbele.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/165-166)
  • Imechapishwa: 23/05/2022