Swali: Je, mwili mzima wa maiti unatakiwa kutiwa manukato?
Jibu: Ndio. Kitendo hicho kimepokelewa kutoka kwa baadhi ya Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/96-97)
- Imechapishwa: 15/05/2026
Swali: Je, mwili mzima wa maiti unatakiwa kutiwa manukato?
Jibu: Ndio. Kitendo hicho kimepokelewa kutoka kwa baadhi ya Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/96-97)
Imechapishwa: 15/05/2026
https://firqatunnajia.com/je-mwili-mzima-wa-maiti-unapuliziwa-manukato/