Swali: Je, inafaa kulala nikiwa na janaba?
Jibu: Inafaa kwa mtu kulala akiwa na janaba. Isipokuwa kilicho bora ni mwenye janaba alale baada ya kuosha tupu yake na kutawadha wudhuu´ wa swalah. Hayo ni kutokana na yale waliyopokea watunzi wa vitabu sita kupitia kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ambaye ameeleza:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anataka kulala ilihali yuko na janaba, basi huosha tupu yake na akatawadha wudhuu´ wake wa swalah.”
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (05/339) nr. (2309)
- Imechapishwa: 05/06/2022
Swali: Je, inafaa kulala nikiwa na janaba?
Jibu: Inafaa kwa mtu kulala akiwa na janaba. Isipokuwa kilicho bora ni mwenye janaba alale baada ya kuosha tupu yake na kutawadha wudhuu´ wa swalah. Hayo ni kutokana na yale waliyopokea watunzi wa vitabu sita kupitia kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ambaye ameeleza:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anataka kulala ilihali yuko na janaba, basi huosha tupu yake na akatawadha wudhuu´ wake wa swalah.”
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (05/339) nr. (2309)
Imechapishwa: 05/06/2022
https://firqatunnajia.com/je-inafaa-kulala-nikiwa-na-janaba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)