Swali: Kuwaraddi baadhi ya waandishi kunaingia katika kupeleleza aibu za watu, jambo ambalo limekatazwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Mambo ni kama tulivyowakhabarisheni. Ikiwa kosa lake linawadhuru watu, anawadanganya watu na mtu huyo akawa na wafuasi, kitendo hichi ni katika Jihaad katika njia ya Allaah, kubainisha haki na kutoificha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (07) http://alfawzan.af.org.sa/node/2050
- Imechapishwa: 18/12/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)