Swali: Kuwaraddi baadhi ya waandishi kunaingia katika kupeleleza aibu za watu, jambo ambalo limekatazwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Mambo ni kama tulivyowakhabarisheni. Ikiwa kosa lake linawadhuru watu, anawadanganya watu na mtu huyo akawa na wafuasi, kitendo hichi ni katika Jihaad katika njia ya Allaah, kubainisha haki na kutoificha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (07) http://alfawzan.af.org.sa/node/2050
- Imechapishwa: 18/12/2016
Swali: Kuwaraddi baadhi ya waandishi kunaingia katika kupeleleza aibu za watu, jambo ambalo limekatazwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Mambo ni kama tulivyowakhabarisheni. Ikiwa kosa lake linawadhuru watu, anawadanganya watu na mtu huyo akawa na wafuasi, kitendo hichi ni katika Jihaad katika njia ya Allaah, kubainisha haki na kutoificha.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (07) http://alfawzan.af.org.sa/node/2050
Imechapishwa: 18/12/2016
https://firqatunnajia.com/je-huku-ni-kupepeleza-aibu-za-watu/