Swali: Hadiyth ya kuoa kabla ya miaka tisa ni dalili ya wazi?
Jibu: Kisa cha ´Aaishah. Ndivo ´Aaishah alivyoolewa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hilo ndio msingi wa jambo hilo.
Swali: Baba akifa na babu akaona kuna manufaa ya kumuozesha akiwa chini ya miaka tisa?
Jibu: Hapana. Asimuozeshe isipokuwa kwa idhini yake baada ya kufikisha miaka isiyopungua tisa. Hilo ni jambo maalum kwa baba kwa ajili ya kukomeka na dalili. Msingi ni kuenea. Msichana bikira anatakwa idhini na baba yake. Huo ndio msingi. Kunabaguliwa katika hayo kisa cha ´Aaishah peke yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23841/حكم-تزويج-الفتاة-قبل-بلوغها-التسع
- Imechapishwa: 17/05/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)