Swali: Baada ya ´Iysaa (´alayhis-Salaam) kushuka atahesabiwa kuwa ni katika Ummah wa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ndio. Ndio. Atahesabiwa ni katika Ummah wa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Atakuwa ni mwenye kumfuata Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Atahukumu kwa Shari´ah ya Uislamu. Atahesabiwa ni katika Mujaddidiyn. ´Iysaa (´alayhis-Salaam) atahesabiwa ni katika watu waliokuja kuifanya upya Dini ya Uislamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/hadis-fitan-18-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Baada ya ´Iysaa (´alayhis-Salaam) kushuka atahesabiwa kuwa ni katika Ummah wa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ndio. Ndio. Atahesabiwa ni katika Ummah wa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Atakuwa ni mwenye kumfuata Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Atahukumu kwa Shari´ah ya Uislamu. Atahesabiwa ni katika Mujaddidiyn. ´Iysaa (´alayhis-Salaam) atahesabiwa ni katika watu waliokuja kuifanya upya Dini ya Uislamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/hadis-fitan-18-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/iysaa-atahukumu-kwa-uislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)