Swali: Mtu akikusanya Dhuhr na ´Aswr, je, atakimu kwa kila moja katika hizo­? Je, swalah za sunnah zinakimiwa?

Jibu: Kila moja katika hizo inakimiwa. Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuhusu kukidhi swalah kwa Mtume Muzdalifah:

“Akakimu na kuswali Maghrib, kisha akakimu na kuswali ´Ishaa, na wala hakuswali kitu baina yake.”[1]

Kuhusu swalah hazina kukimu.

[1] al-Bukhaariy na Muslim.

  • Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/161)
  • Imechapishwa: 15/05/2026