Swali: Nimesikia kuwa ipo du´aa inayotosheleza kutokamana na sujuud ya kisomo. Ni upi usahihi wa hilo?
Jibu: Halina msingi. Ni maoni miongoni mwa maoni ya Hanafiyyah. Kwa sababu wao wanaona kuwa sujuud ya kisomo ni lazima. Kwa ajili hiyo wakaiwekea badali.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 43
- Imechapishwa: 01/07/2022
Swali: Nimesikia kuwa ipo du´aa inayotosheleza kutokamana na sujuud ya kisomo. Ni upi usahihi wa hilo?
Jibu: Halina msingi. Ni maoni miongoni mwa maoni ya Hanafiyyah. Kwa sababu wao wanaona kuwa sujuud ya kisomo ni lazima. Kwa ajili hiyo wakaiwekea badali.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 43
Imechapishwa: 01/07/2022
https://firqatunnajia.com/ipo-duaa-inayotosheleza-kutokamana-na-sujuud-ya-kisomo/