Swali: Nini maana ya kufanya hadaa (التدليس)?
Jibu: Kufanya hadaa ni mpokezi kusema kuwa amepokea kutoka kwa fulani ilihali hakusikia kutoka kwake wala kukutana naye. Huku ndio kufanya hadaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31292/ما-معنى-التدليس-في-رواية-الحديث
- Imechapishwa: 18/10/2025
Swali: Nini maana ya kufanya hadaa (التدليس)?
Jibu: Kufanya hadaa ni mpokezi kusema kuwa amepokea kutoka kwa fulani ilihali hakusikia kutoka kwake wala kukutana naye. Huku ndio kufanya hadaa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31292/ما-معنى-التدليس-في-رواية-الحديث
Imechapishwa: 18/10/2025
https://firqatunnajia.com/inaposemwa-mpokezi-fulani-ni-mfanya-hadaa/