Swali: Vipi mpokezi mwenye kufanya hadaa (التدليس) anayesimulia kwa mtindo wa kutotaja namna ya upokeaji (عنعنة) ikiwa kumekuwepo kukutana naye na ni mwenye kuaminika?
Jibu: Haisaidii kitu. Ikiwa hakuwa wa wakati mmoja naye, basi haihesabiki kuwa amesikia, tofauti na yule ambaye aliishi wakati wake katika mfano wa kijiji chake, mji wake au sehemu yake. Ama yule ambaye hakuwahi kuishi wakati wake, bali alizaliwa baada yake, basi hiyo ni cheni ya wapokezi iliyokatika.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31303/ما-حكم-عنعنة-المدلس-الثقة-في-الحديث
- Imechapishwa: 18/10/2025
Swali: Vipi mpokezi mwenye kufanya hadaa (التدليس) anayesimulia kwa mtindo wa kutotaja namna ya upokeaji (عنعنة) ikiwa kumekuwepo kukutana naye na ni mwenye kuaminika?
Jibu: Haisaidii kitu. Ikiwa hakuwa wa wakati mmoja naye, basi haihesabiki kuwa amesikia, tofauti na yule ambaye aliishi wakati wake katika mfano wa kijiji chake, mji wake au sehemu yake. Ama yule ambaye hakuwahi kuishi wakati wake, bali alizaliwa baada yake, basi hiyo ni cheni ya wapokezi iliyokatika.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31303/ما-حكم-عنعنة-المدلس-الثقة-في-الحديث
Imechapishwa: 18/10/2025
https://firqatunnajia.com/mpokezi-anayefanya-hadaa-mwaminifu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
