Swali: Je, inajuzu kurekodi mawaidha na durusi zinazotolewa moja kwa moja [live] na kuzihifadhi kisha mtu akazipitia wakati mwingine au jambo hili linaingia katika picha zilizoharamishwa?
Jibu: Kurekodi sio picha. Rekodi sauti katika kanda na baada ya hapo uieneze kwa watu. Hili ni jambo zuri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (80) ttp://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir_08_03_1433.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Je, inajuzu kurekodi mawaidha na durusi zinazotolewa moja kwa moja [live] na kuzihifadhi kisha mtu akazipitia wakati mwingine au jambo hili linaingia katika picha zilizoharamishwa?
Jibu: Kurekodi sio picha. Rekodi sauti katika kanda na baada ya hapo uieneze kwa watu. Hili ni jambo zuri.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (80) ttp://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir_08_03_1433.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kurekodi-darsa-anazotoa-al-fawzaan-live-kwenye-tv/