Swali: Huku kwetu kumeenea kiongozi kukemewa hadharani na hilo limepelekea katika kupatikana manufaa mengi. Je, kitendo kama hichi kinajuzu?
Jibu: Kule kupatikana manufaa vilevile kunapatikana madhara. Madhara ni yenye nguvu kuliko manufaa. Kumwagika kwa damu, kukosekana amani, kufarikiana na tofauti na madhara mengine mengi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (80) ttp://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir_08_03_1433.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Huku kwetu kumeenea kiongozi kukemewa hadharani na hilo limepelekea katika kupatikana manufaa mengi. Je, kitendo kama hichi kinajuzu?
Jibu: Kule kupatikana manufaa vilevile kunapatikana madhara. Madhara ni yenye nguvu kuliko manufaa. Kumwagika kwa damu, kukosekana amani, kufarikiana na tofauti na madhara mengine mengi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (80) ttp://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir_08_03_1433.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kumkemea-kiongozi-ikiwa-kufanya-hivo-kuna-manufaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)