Swali: Ni ipi hukumu ya kumtembelea kafiri mgonjwa? Kufanya hivo kunaingia katika kumpenda?
Jibu: Inajuzu kumtembelea ili kumlingania katika Uislamu kama Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivomtembelea Abu Twaalib na kumlingania katika Uislamu. Vilevile alimtembelea myahudi na akamlingania katika Uislamu na akasilimu. Ikiwa ni kwa ajili ya kumlingania katika Uislamu, hili ni jambo zuri na limewekwa katika Shari´ah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (80) ttp://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir_08_03_1433.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kumtembelea kafiri mgonjwa? Kufanya hivo kunaingia katika kumpenda?
Jibu: Inajuzu kumtembelea ili kumlingania katika Uislamu kama Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivomtembelea Abu Twaalib na kumlingania katika Uislamu. Vilevile alimtembelea myahudi na akamlingania katika Uislamu na akasilimu. Ikiwa ni kwa ajili ya kumlingania katika Uislamu, hili ni jambo zuri na limewekwa katika Shari´ah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (80) ttp://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir_08_03_1433.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kumtembelea-kafiri-mgonjwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)