Swali: Je, inajuzu kumfanyia Rukuu´ yeyote kwa mfano wazazi wawili?
Jibu: Haijuzu, bali kufanya hivo ni shirki. Rukuu´ ni ´ibaadah anayofanyiwa Allaah kama mfano wa Sujuud. Hivyo haijuzu kumfanyia asiyekuwa Allaah.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/221-222)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Je, inajuzu kumfanyia Rukuu´ yeyote kwa mfano wazazi wawili?
Jibu: Haijuzu, bali kufanya hivo ni shirki. Rukuu´ ni ´ibaadah anayofanyiwa Allaah kama mfano wa Sujuud. Hivyo haijuzu kumfanyia asiyekuwa Allaah.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/221-222)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kumfanyia-rukuu-mzazi/