Swali: Je, inajuzu kuswali na hirizi au hapana?
Jibu: Wanachuoni wameafikiana juu ya uharamu wa kuvaa hirizi ikiwa sio ya Qur-aan na wakatofautiana ikiwa ni ya Qur-aan; kuna waliojuzisha kuivaa na wengine wakakataza kuivaa. Kauli inayosema kuwa haifai ina nguvu zaidi kutokana na ujumla wa Hadiyth na kuziba njia. Kujengea juu ya hilo ni jambo linalokuja nafasi ya mbele kabisa kutojuzu kuivaa wakati wa swalah.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/212)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Je, inajuzu kuswali na hirizi au hapana?
Jibu: Wanachuoni wameafikiana juu ya uharamu wa kuvaa hirizi ikiwa sio ya Qur-aan na wakatofautiana ikiwa ni ya Qur-aan; kuna waliojuzisha kuivaa na wengine wakakataza kuivaa. Kauli inayosema kuwa haifai ina nguvu zaidi kutokana na ujumla wa Hadiyth na kuziba njia. Kujengea juu ya hilo ni jambo linalokuja nafasi ya mbele kabisa kutojuzu kuivaa wakati wa swalah.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/212)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kuswali-na-hirizi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)