Swali: Je, inachukiza mara nyingine akileta Basmalah kwa sauti ya juu?
Jibu: Hapana, haidhuru. Hata hivyo ni kwenda kinyume na Sunnah. Kwa ajili hiyo Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiisema kwa sauti ya juu. Pengine hayo yalikuwa yakitokea baadhi ya nyakati.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23752/هل-يكره-الجهر-بالبسملة-في-الصلاة
- Imechapishwa: 20/04/2024
Swali: Je, inachukiza mara nyingine akileta Basmalah kwa sauti ya juu?
Jibu: Hapana, haidhuru. Hata hivyo ni kwenda kinyume na Sunnah. Kwa ajili hiyo Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiisema kwa sauti ya juu. Pengine hayo yalikuwa yakitokea baadhi ya nyakati.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23752/هل-يكره-الجهر-بالبسملة-في-الصلاة
Imechapishwa: 20/04/2024
https://firqatunnajia.com/inafaa-lakini-ni-kwenda-kinyume-na-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)