Swali: Inachukiza iwapo atamaliza kuswali lakini bado jua limeendelea kupatwa kisha akaswali swalah nyingine?
Jibu: Hapana. Sunnah [ni mara moja na] inatosha. Awashughulishe watu na Dhikr, Takbiyr na swadaqah.
Swali: Vipi ikiwa mtu hakuwahi Rak´ah ya kwanza?
Jibu: Aikidhi. Ikiwa amewahi Rak´ah ya pili pekee basi ailipe ile Rak´ah ya kwanza. Kwa maana ya kwamba imamu anapotoa salamu akidhi ile Rak´ah ya kwanza kwa Rukuu´ mbili, Sujuud mbili na visomo viwili.
Swali: Akidhi yale yaliyompita au Rak´ah mbili?
Jibu: Aswali ile Rak´ah iliyompita kwa kisomo chake, Rukuu´ yake na Sujuud yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23754/حكم-تكرار-صلاة-الكسوف-وقضاىها
- Imechapishwa: 20/04/2024
Swali: Inachukiza iwapo atamaliza kuswali lakini bado jua limeendelea kupatwa kisha akaswali swalah nyingine?
Jibu: Hapana. Sunnah [ni mara moja na] inatosha. Awashughulishe watu na Dhikr, Takbiyr na swadaqah.
Swali: Vipi ikiwa mtu hakuwahi Rak´ah ya kwanza?
Jibu: Aikidhi. Ikiwa amewahi Rak´ah ya pili pekee basi ailipe ile Rak´ah ya kwanza. Kwa maana ya kwamba imamu anapotoa salamu akidhi ile Rak´ah ya kwanza kwa Rukuu´ mbili, Sujuud mbili na visomo viwili.
Swali: Akidhi yale yaliyompita au Rak´ah mbili?
Jibu: Aswali ile Rak´ah iliyompita kwa kisomo chake, Rukuu´ yake na Sujuud yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23754/حكم-تكرار-صلاة-الكسوف-وقضاىها
Imechapishwa: 20/04/2024
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-kupatwa-kwa-jua-inaswaliwa-mara-moja-na-haikaririwi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)