Swali: Ikitubainikia kuwa kuna mtu amemfanyia uchawi mtu mwengine ni vipi tutabatilisha kitendo chake katika Shari´ah?
Jibu: Kutumia uchawi ni haramu bali ni kufuru kubwa. Haijuzu kutumia uchawi ili kuzingua uchawi mwingine. Lakini aliyefanyiwa uchawi anatibiwa kwa Ruqyah na du´aa za Kishari´ah zilizothibiti katika Qur-aan na katika Sunnah.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/377)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Ikitubainikia kuwa kuna mtu amemfanyia uchawi mtu mwengine ni vipi tutabatilisha kitendo chake katika Shari´ah?
Jibu: Kutumia uchawi ni haramu bali ni kufuru kubwa. Haijuzu kutumia uchawi ili kuzingua uchawi mwingine. Lakini aliyefanyiwa uchawi anatibiwa kwa Ruqyah na du´aa za Kishari´ah zilizothibiti katika Qur-aan na katika Sunnah.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/377)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/inafaa-kutibu-uchawi-kwa-uchawi/