Swali: Ikitubainikia kuwa kuna mtu amemfanyia uchawi mtu mwengine ni vipi tutabatilisha kitendo chake katika Shari´ah?
Jibu: Kutumia uchawi ni haramu bali ni kufuru kubwa. Haijuzu kutumia uchawi ili kuzingua uchawi mwingine. Lakini aliyefanyiwa uchawi anatibiwa kwa Ruqyah na du´aa za Kishari´ah zilizothibiti katika Qur-aan na katika Sunnah.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/377)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Ikitubainikia kuwa kuna mtu amemfanyia uchawi mtu mwengine ni vipi tutabatilisha kitendo chake katika Shari´ah?
Jibu: Kutumia uchawi ni haramu bali ni kufuru kubwa. Haijuzu kutumia uchawi ili kuzingua uchawi mwingine. Lakini aliyefanyiwa uchawi anatibiwa kwa Ruqyah na du´aa za Kishari´ah zilizothibiti katika Qur-aan na katika Sunnah.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/377)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/inafaa-kutibu-uchawi-kwa-uchawi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)