Swali: Alisema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumwambia Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh):
“Keti chini.” [wakati wa kunywa]
Jibu: Ni dalili inayojulisha kuwa kunywa kwa kuketi chini ndio bora zaidi, kama tulivyotangulia kusema.
Swali: Ambaye anakunywa kwa kusimama ameenda kinyume na lililo bora?
Jibu: Inafaa. Hata hivyo kwa kuketi chini ndio bora zaidi.
Swali: Ameipokea al-Bukhaariy au Muslim?
Jibu: Mtunzi ameliegemeza kwa al-Bukhaariy.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22239/ما-حكم-الشرب-جالسا-وقاىما
- Imechapishwa: 15/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)