Swali: Vipi kuhusu kusema kwamba Ibn Khuzaymah ni imamu wa maimamu?
Jibu: Bi maana ni imamu katika wakati wake. Hiyo ndio tafsiri bora inayoweza kufasiriwa kwamba ni imamu katika kipindi chake kutokana na nguvu yake katika Sunnah na kuwaraddi Ahl-ul-Bid´ah. Alifariki mwaka wa 310 mwaka ambao alifariki Ibn Jariyr.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat ´alaal-Fatwaa al-Hamawiyyah al-Kubraa, uk. 95
- Imechapishwa: 09/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)