Swali: Kuna mtu alikosa swalah ambapo akaingia msikitini na kukuta bwana mmoja anaswali kwa kuketi chini. Je, aswali pamoja naye?
Jibu: Hapana, hili linamuhusu yule imamu mteule peke yake. Vinginevyo aliyeketi chini hakuswaliwi nyuma yake ikiwa sio imamu mteule. Haifai akawaswalisha watu. Jambo hilo ni maalum kwa imamu rasmi anayeswali kwa kuketi chini.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23730/حكم-الصلاة-خلف-المقعد
- Imechapishwa: 15/04/2024
Swali: Kuna mtu alikosa swalah ambapo akaingia msikitini na kukuta bwana mmoja anaswali kwa kuketi chini. Je, aswali pamoja naye?
Jibu: Hapana, hili linamuhusu yule imamu mteule peke yake. Vinginevyo aliyeketi chini hakuswaliwi nyuma yake ikiwa sio imamu mteule. Haifai akawaswalisha watu. Jambo hilo ni maalum kwa imamu rasmi anayeswali kwa kuketi chini.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23730/حكم-الصلاة-خلف-المقعد
Imechapishwa: 15/04/2024
https://firqatunnajia.com/imamu-pekee-anayefaa-kuwaswalisha-watu-kwa-kuketi-chini/