Swali: Kuna mtu alikosa swalah ambapo akaingia msikitini na kukuta bwana mmoja anaswali kwa kuketi chini. Je, aswali pamoja naye?
Jibu: Hapana, hili linamuhusu yule imamu mteule peke yake. Vinginevyo aliyeketi chini hakuswaliwi nyuma yake ikiwa sio imamu mteule. Haifai akawaswalisha watu. Jambo hilo ni maalum kwa imamu rasmi anayeswali kwa kuketi chini.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23730/حكم-الصلاة-خلف-المقعد
- Imechapishwa: 15/04/2024
Swali: Kuna mtu alikosa swalah ambapo akaingia msikitini na kukuta bwana mmoja anaswali kwa kuketi chini. Je, aswali pamoja naye?
Jibu: Hapana, hili linamuhusu yule imamu mteule peke yake. Vinginevyo aliyeketi chini hakuswaliwi nyuma yake ikiwa sio imamu mteule. Haifai akawaswalisha watu. Jambo hilo ni maalum kwa imamu rasmi anayeswali kwa kuketi chini.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23730/حكم-الصلاة-خلف-المقعد
Imechapishwa: 15/04/2024
https://firqatunnajia.com/imamu-pekee-anayefaa-kuwaswalisha-watu-kwa-kuketi-chini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)