Swali: Imamu alikuwa anaswali na pambizoni mwake yuko maamuma. Akaja mtu wa tatu akamtanguliza mbele yule maamuma ambapo akawa imamu na imamu akawa maamuma na wakakamilisha swalah kwa hali hiyo. Ni ipi hukumu ya swalah yao?
Jibu: Katika hali hii maamuma akinuia kuwa imamu na imamu kuwa maamuma hakuna neno. Hali hii ni kama ambavo inafaa kwa imamu kugeuka kuwa maamuma ikiwa kuna haja ya kufanya hivo. Lakini haitakikani kwake kugeuza isipokuwa kutokana na haja inayopelekea kufanya hivo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
- Imechapishwa: 24/05/2021
Swali: Imamu alikuwa anaswali na pambizoni mwake yuko maamuma. Akaja mtu wa tatu akamtanguliza mbele yule maamuma ambapo akawa imamu na imamu akawa maamuma na wakakamilisha swalah kwa hali hiyo. Ni ipi hukumu ya swalah yao?
Jibu: Katika hali hii maamuma akinuia kuwa imamu na imamu kuwa maamuma hakuna neno. Hali hii ni kama ambavo inafaa kwa imamu kugeuka kuwa maamuma ikiwa kuna haja ya kufanya hivo. Lakini haitakikani kwake kugeuza isipokuwa kutokana na haja inayopelekea kufanya hivo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
Imechapishwa: 24/05/2021
https://firqatunnajia.com/imamu-kugeuza-kuwa-maamuma-na-kinyume-chake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)