Swali: Je, inafaa kwa imamu kusimama kuswali Tarawiyh licha ya kwamba kuna kikosi cha watu wanaoswali ´Ishaa mkusanyiko wa pili?
Jibu: Hapana kizuizi imamu akasimama kuswali Tarawiyh baada ya kumaliza kuswali ´Ishaa na Raatibah yake hata kama kuna kikosi cha watu wanaoswali. Kwa sababu ´Ishaa imeshawapita pamoja na imamu. Inafaa kwao pia kuswali pamoja na imamu ambaye anaswali Tarawiyh na wakati huohuo wao wamenuia swalah ya ´Ishaa. Pindi imamu atatoa salamu watasimama na kukamilisha swalah zao kivyao. Vilevile wanaweza kuswali mkusanyiko peke yao maeneo ambapo hakuna tashwishi juu yao na kwa imamu.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (06/81) nr. (20795)
- Imechapishwa: 22/04/2022
Swali: Je, inafaa kwa imamu kusimama kuswali Tarawiyh licha ya kwamba kuna kikosi cha watu wanaoswali ´Ishaa mkusanyiko wa pili?
Jibu: Hapana kizuizi imamu akasimama kuswali Tarawiyh baada ya kumaliza kuswali ´Ishaa na Raatibah yake hata kama kuna kikosi cha watu wanaoswali. Kwa sababu ´Ishaa imeshawapita pamoja na imamu. Inafaa kwao pia kuswali pamoja na imamu ambaye anaswali Tarawiyh na wakati huohuo wao wamenuia swalah ya ´Ishaa. Pindi imamu atatoa salamu watasimama na kukamilisha swalah zao kivyao. Vilevile wanaweza kuswali mkusanyiko peke yao maeneo ambapo hakuna tashwishi juu yao na kwa imamu.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (06/81) nr. (20795)
Imechapishwa: 22/04/2022
https://firqatunnajia.com/imamu-asubiri-mkusanyiko-wa-pili-au-aanze-tarawiyh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)