Swali: Unaonaje kuhusu mtu anayewaongoza watu katika swalah na imebainika kuwa anavuta shisha?

Jibu: Aondolewe na abadilishwe kwa mtu mwema. Swalah ni sahihi, lakini inapaswa abadilishwe na mtu mwema ikiwa itapatikana uwezo. Ama ikiwa watu wote wa kijiji wanavuta, basi hapana tofauti katika hilo.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1322/حكم-الصلاة-خلف-من-يدخن-الشيشة
  • Imechapishwa: 21/06/2026