Namna mwanamke anavyoisafisha nguo yake inayogusa ardhi

Swali: Je, ardhi huitwaharisha nguo ya mwanamke na kiatu cha muislamu?

Jibu: Ndio, ikiwa nguo yake imepatwa na najisi au pindo lake limepatwa na najisi au kiatu, kisha akapita juu ya ardhi safi, basi vinatwaharika. Avisugue katika ardhi safi, kufanya hivo inatosha.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1324/كيفية-تطهير-ذيل-ثوب-المراة-والنعل
  • Imechapishwa: 21/06/2026