Imamu achunge hali za watu katika Tarawiyh

Swali: Kuna kigezo kipi katika kurefusha na kufupisha swalah ya Tarawiyh na kisimamo cha usiku?

Jibu: Sunnah kwa imamu ni yeye asiwatie uzito watu na wala asiwadhuru. Imamu ajitahidi na achunge Sunnah. Kwa maana nyingine asiwatie uzito katika kisomo, Rukuu´ na Sujuud yake. Achunge na ajitahidi.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/audios/794/فتاوى-رمضانية
  • Imechapishwa: 01/04/2023