Swali: Je, ni kweli kuwa Imaam Abul-Hasan al-Ash´ariy alijirejea kwenye madhehebu yake? Tunaomba utuwekee wazi hilo.
Jibu: Hili linapatikana katika vitabu viwili; kitabu chake “al-Ibaanah” na kimechapishwa na kutolewa. Vilevile yanapatikana kwenye kitabu chake “Maqaalaat al-Islaamiyyiyn”. Baada ya kutaja madhehebu mbali mbali, akaweka wazi kabisa ya kwamba yeye anaamini yale aliyokuwemo Imaam Ahmad bin Hanbal. Ameweka wazi hili na yanapatikana kwenye kitabu chake “al-Ibaanah” na kwenye kitabu chake “al-Maqaalaat”. Inasemekana vilevile kuwa yametajwa kwenye barua yake kwenda kwa watu wa Thaghr “. Haya yanapatikana kwenye vitabu vyake. Si kwamba yamenukuliwa kutoka kwake kimaneno. Bali yanapatikana kwenye vitabu vyake alivyoandika yeye kwa mkono wake. Hivi ni miongoni mwa vitabu vya mwisho alivyoandika.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_03.mp3
- Imechapishwa: 31/05/2015
Swali: Je, ni kweli kuwa Imaam Abul-Hasan al-Ash´ariy alijirejea kwenye madhehebu yake? Tunaomba utuwekee wazi hilo.
Jibu: Hili linapatikana katika vitabu viwili; kitabu chake “al-Ibaanah” na kimechapishwa na kutolewa. Vilevile yanapatikana kwenye kitabu chake “Maqaalaat al-Islaamiyyiyn”. Baada ya kutaja madhehebu mbali mbali, akaweka wazi kabisa ya kwamba yeye anaamini yale aliyokuwemo Imaam Ahmad bin Hanbal. Ameweka wazi hili na yanapatikana kwenye kitabu chake “al-Ibaanah” na kwenye kitabu chake “al-Maqaalaat”. Inasemekana vilevile kuwa yametajwa kwenye barua yake kwenda kwa watu wa Thaghr “. Haya yanapatikana kwenye vitabu vyake. Si kwamba yamenukuliwa kutoka kwake kimaneno. Bali yanapatikana kwenye vitabu vyake alivyoandika yeye kwa mkono wake. Hivi ni miongoni mwa vitabu vya mwisho alivyoandika.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_03.mp3
Imechapishwa: 31/05/2015
https://firqatunnajia.com/imaam-abul-hasan-al-ashariy-aliachana-na-ahl-ul-bidah-na-kujiunga-na-ahl-us-sunnah-1/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)