Swali: Katika kipindi cha mwisho kumejitokeza TV maalum kwa ajili ya Anaashiyd za Kiislamu. Ni zipi nasaha zako kuzitazama na kushiriki ndani yake?
Jibu: Anaashiyd ambazo wanaziita eti ni za “Kiislamu”, kwa ajili ya kuzipigia debe, zinatoka kwa moja ya mapote mawili:
1- Suufiyyah ambao wanaabudu kwazo na wamezifanya ni katika kumdhukuru Allaah.
2- Hizbiyyuun ambao wamezifanya kwa ajili ya kulingania katika Hizbiyyah yao na kueneza mambo yao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 39-40
- Imechapishwa: 21/05/2021
Swali: Katika kipindi cha mwisho kumejitokeza TV maalum kwa ajili ya Anaashiyd za Kiislamu. Ni zipi nasaha zako kuzitazama na kushiriki ndani yake?
Jibu: Anaashiyd ambazo wanaziita eti ni za “Kiislamu”, kwa ajili ya kuzipigia debe, zinatoka kwa moja ya mapote mawili:
1- Suufiyyah ambao wanaabudu kwazo na wamezifanya ni katika kumdhukuru Allaah.
2- Hizbiyyuun ambao wamezifanya kwa ajili ya kulingania katika Hizbiyyah yao na kueneza mambo yao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ma´aalim Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 39-40
Imechapishwa: 21/05/2021
https://firqatunnajia.com/ima-hizbiyyuun-au-suufiyyuun/