Swali: Je, ni katika sifa maalum zinazomuhusu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kukaa chemba na mwanamke wa kando na kumtazama?
Jibu: Halina dalili. Kinachotambulika ni kwamba Haraam alikuwa ni Mahram yake kwa upande wa ujomba au unyonyaji, kama walivyoyabainisha hayo kikosi cha wanazuoni. Katika Hadiyth ya Rubay´a hakuna dalili ya kukaa chemba na kwamba kuna kitendo cha yeye kukaa naye chemba. Msingi ni kuenea mpaka kubainike jambo kwa dalili ya wazi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23849/%D9%87%D9%84-%D9%85%D9%86-%D8%AE%D8%B5%D8%A7%D9%89%D8%B5-%D8%A7%D9%84%D9%86%D8%A8%D9%8A%C2%A0%D8%A7%D9%84%D8%AE%D9%84%D9%88%D8%A9-%D8%A8%D8%A7%D9%84%D8%A7%D8%AC%D9%86%D8%A8%D9%8A%D8%A9
- Imechapishwa: 19/05/2024
Swali: Je, ni katika sifa maalum zinazomuhusu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kukaa chemba na mwanamke wa kando na kumtazama?
Jibu: Halina dalili. Kinachotambulika ni kwamba Haraam alikuwa ni Mahram yake kwa upande wa ujomba au unyonyaji, kama walivyoyabainisha hayo kikosi cha wanazuoni. Katika Hadiyth ya Rubay´a hakuna dalili ya kukaa chemba na kwamba kuna kitendo cha yeye kukaa naye chemba. Msingi ni kuenea mpaka kubainike jambo kwa dalili ya wazi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23849/%D9%87%D9%84-%D9%85%D9%86-%D8%AE%D8%B5%D8%A7%D9%89%D8%B5-%D8%A7%D9%84%D9%86%D8%A8%D9%8A%C2%A0%D8%A7%D9%84%D8%AE%D9%84%D9%88%D8%A9-%D8%A8%D8%A7%D9%84%D8%A7%D8%AC%D9%86%D8%A8%D9%8A%D8%A9
Imechapishwa: 19/05/2024
https://firqatunnajia.com/ilikuwa-inafaa-kwa-mtume-kukaa-chemba/