Swali: Mwanamke mwenye wudhuu´ akigusa uchi wa mtoto wudhuu´ wake unachenguka?
Jibu: Wudhuu wa mwanamke hauchenguki akimgusa mtoto wake au akagusa dhakari yake au tupu yake. Kwa kuwa hilo halichengui wudhuu´. Hata kule mwanaume kugusa dhakari yake, hakuchengui wudhuu´ isipokuwa ikiwa ni kwa matamanio. Ama ikiwa ni bila ya matamanio, imependekezwa kutia wudhuu´ lakini sio wajibu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Liqaa’ al-Baab al-Maftuuh (09 B)
- Imechapishwa: 14/09/2020
Swali: Mwanamke mwenye wudhuu´ akigusa uchi wa mtoto wudhuu´ wake unachenguka?
Jibu: Wudhuu wa mwanamke hauchenguki akimgusa mtoto wake au akagusa dhakari yake au tupu yake. Kwa kuwa hilo halichengui wudhuu´. Hata kule mwanaume kugusa dhakari yake, hakuchengui wudhuu´ isipokuwa ikiwa ni kwa matamanio. Ama ikiwa ni bila ya matamanio, imependekezwa kutia wudhuu´ lakini sio wajibu.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Liqaa’ al-Baab al-Maftuuh (09 B)
Imechapishwa: 14/09/2020
https://firqatunnajia.com/ibn-uthymiyn-kuhusu-kugusu-tupu-ya-mtoto-wakati-wa-kumtamba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
