Swali: Je inajuzu kwa kikosi cha wanawake kuwa na imamu mwanamke akawaongoza katika swalah ya Tarawiyh?
Jibu: Inajuzu kwa wanawake kuswali pamoja katika mkusanyiko katika Tarawiyh na zile swalah tano. Mmoja wao awaongoze wengine katika swalah. Hili lifanyike katika moja ya majumba yao ambapo wametengwa na wanaume, kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimruhusu Umm Waraqah kuswali na wale wanaoeshi nyumbani kwake kuwa kama imamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Muntaqah min fataawaa Shaykh Swaalih bin Fawzaan (3/204)
- Imechapishwa: 14/09/2020
Swali: Je inajuzu kwa kikosi cha wanawake kuwa na imamu mwanamke akawaongoza katika swalah ya Tarawiyh?
Jibu: Inajuzu kwa wanawake kuswali pamoja katika mkusanyiko katika Tarawiyh na zile swalah tano. Mmoja wao awaongoze wengine katika swalah. Hili lifanyike katika moja ya majumba yao ambapo wametengwa na wanaume, kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimruhusu Umm Waraqah kuswali na wale wanaoeshi nyumbani kwake kuwa kama imamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Muntaqah min fataawaa Shaykh Swaalih bin Fawzaan (3/204)
Imechapishwa: 14/09/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kuwa-imamu-kuwaongoza-wengine-katika-tarawiyh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)