Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuzipaka nywele zake rangi nyingine isiyokuwa nyeusi kama mfano wa rangi ya chokleiti na nyekundunyekundu?
Jibu: Kimsingi katika jambo hili ni kufaa. Isipokuwa ikifikia katika kiwango cha kujifananisha na vichwa vya wanawake wa kikafiri, makahaba, watenda dhambi. Katika hali hiyo itakuwa haramu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/118)
- Imechapishwa: 28/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuzipaka nywele zake rangi nyingine isiyokuwa nyeusi kama mfano wa rangi ya chokleiti na nyekundunyekundu?
Jibu: Kimsingi katika jambo hili ni kufaa. Isipokuwa ikifikia katika kiwango cha kujifananisha na vichwa vya wanawake wa kikafiri, makahaba, watenda dhambi. Katika hali hiyo itakuwa haramu.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/118)
Imechapishwa: 28/06/2017
https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-wanawake-kubadili-rangi-ya-nywele-zao/