Swali: Ni ipi hukumu imamu akitoa Tasliym mbili katika swalah ya jeneza?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo kwa kuwa imepokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayahi wa sallam).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/130)
- Imechapishwa: 15/09/2021
Swali: Ni ipi hukumu imamu akitoa Tasliym mbili katika swalah ya jeneza?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo kwa kuwa imepokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayahi wa sallam).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/130)
Imechapishwa: 15/09/2021
https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-kuhusu-imamu-kuleta-tasliym-mbili/