Imaam Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:
Mlango: Makemeo kwa mwenye kukemea kuonekana kwa Allaah Aakhirah
Kumetangulia maneno Yake (Ta´ala):
كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ
“Hapana! Hakika wao siku hiyo watawekewa kizuizi [wasimuone] Mola wao.” (83:15)
´Abdullaah bin al-Mubaarak amesema:
“Hakuna yeyote ambaye Allaah amemzuia [na kumuona huko Aakhirah] isipokuwa atamuadhibu.” Kisha akasoma maneno Yake (Ta´ala):
ثُمَّ إِنَّهُمْ لَصَالُو الْجَحِيمِ ثُمَّ يُقَالُ هَـٰذَا الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ
“Kisha hakika wao bila shaka wataingizwa na waungue katika [Moto wa] al-Jahiym. Kisha itasemwa: “Haya ndio yale mliyokuwa mkiyakadhibisha.” (83:16-17)
Akasema:
“Kuhusu kuonekana.”
- Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Bayaan wa al-Idhwaah li ´Aqiydah Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah fiy Ru´yati Allaahi yaum al-Qiyaamah, uk. 85
- Imechapishwa: 27/08/2020
Imaam Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:
Mlango: Makemeo kwa mwenye kukemea kuonekana kwa Allaah Aakhirah
Kumetangulia maneno Yake (Ta´ala):
كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ
“Hapana! Hakika wao siku hiyo watawekewa kizuizi [wasimuone] Mola wao.” (83:15)
´Abdullaah bin al-Mubaarak amesema:
“Hakuna yeyote ambaye Allaah amemzuia [na kumuona huko Aakhirah] isipokuwa atamuadhibu.” Kisha akasoma maneno Yake (Ta´ala):
ثُمَّ إِنَّهُمْ لَصَالُو الْجَحِيمِ ثُمَّ يُقَالُ هَـٰذَا الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ
“Kisha hakika wao bila shaka wataingizwa na waungue katika [Moto wa] al-Jahiym. Kisha itasemwa: “Haya ndio yale mliyokuwa mkiyakadhibisha.” (83:16-17)
Akasema:
“Kuhusu kuonekana.”
Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Bayaan wa al-Idhwaah li ´Aqiydah Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah fiy Ru´yati Allaahi yaum al-Qiyaamah, uk. 85
Imechapishwa: 27/08/2020
https://firqatunnajia.com/ibn-ul-qayyim-matishio-kwa-wanaopinga-kuonekana-kwa-allaah-aakhirah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)