Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:
“Enyi waumini wenye kuamini Kitabu cha Allaah na Sunnah za Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuweni na bidii [katika ´ibaadah] juu ya kumuona Allaah. Hii ni sifa kubwa ya kipekee ambayo ni kumuona Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).”
Mtu pindi anapomuona mwanachuoni mkubwa au kiongozi mwadilifu anahisi furaha kubwa. Vipi kuhusu kumuona Allaah (´Azza wa Jall)? Watu wanajisifu na kujigamba kwa kukutana na wakuu. Vipi kuhusu kumuona Allaah, ambaye ndiye Mola wa walimwengu (Subhaanahu wa Ta´ala)? Kwa ajili hii ndio maana wanashindana ili waweze kumuona na wanaogopa wasije kunyimwa kumuona Mola Wao (Tabaarak wa Ta´ala). Hivyo wanajiepusha na matendo ambayo yatafanya wakose radhi za Mola Wao. Wanajikurubisha kwa Allaah kwa yale matendo yatayowafikisha Peponi na kuweza kumuona Mola Wao (´Azza wa Jall).
- Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Bayaan wa al-Idhwaah li ´Aqiydah Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah fiy Ru´yati Allaahi yaum al-Qiyaamah, uk. 09
- Imechapishwa: 27/08/2020
Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:
“Enyi waumini wenye kuamini Kitabu cha Allaah na Sunnah za Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuweni na bidii [katika ´ibaadah] juu ya kumuona Allaah. Hii ni sifa kubwa ya kipekee ambayo ni kumuona Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).”
Mtu pindi anapomuona mwanachuoni mkubwa au kiongozi mwadilifu anahisi furaha kubwa. Vipi kuhusu kumuona Allaah (´Azza wa Jall)? Watu wanajisifu na kujigamba kwa kukutana na wakuu. Vipi kuhusu kumuona Allaah, ambaye ndiye Mola wa walimwengu (Subhaanahu wa Ta´ala)? Kwa ajili hii ndio maana wanashindana ili waweze kumuona na wanaogopa wasije kunyimwa kumuona Mola Wao (Tabaarak wa Ta´ala). Hivyo wanajiepusha na matendo ambayo yatafanya wakose radhi za Mola Wao. Wanajikurubisha kwa Allaah kwa yale matendo yatayowafikisha Peponi na kuweza kumuona Mola Wao (´Azza wa Jall).
Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Bayaan wa al-Idhwaah li ´Aqiydah Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah fiy Ru´yati Allaahi yaum al-Qiyaamah, uk. 09
Imechapishwa: 27/08/2020
https://firqatunnajia.com/sababu-ya-waumini-kushindana-katika-ibaadah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)