Swali: Leo inakuwa vigumu kuomba idhini mara tatu na inakuwa ni lazima kuzidisha khaswa katika yale majumba ambayo milango yake inakuwa mbali.
Jibu: Apige kitu kinachofikisha sauti kama vile kengele sambamba na kutoa salamu.
Swali: Je, azidishe mara tatu akijua kuwa hawakusikia?
Jibu: Sunnah ni kutoa salamu mara tatu. Lakini anaweza kupiga kengele au kitu kingine kinachofikisha sauti kwa sababu pengine hawajasikia sauti.
Swali: Kengele?
Jibu: Hapana vibaya, kwa sababu lengo ni kuzindua. Ni kama kengele ya saa na simu. Makusudio yake kwa kule kuitundika sio ya kabla ya kuja Uislamu.
Swali: Hakuwazuilii Malaika?
Jibu: Hapana vibaya – Allaah akitaka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24246/حكم-الزيادة-على-السلام-ثلاثا-في-الاستىذان
- Imechapishwa: 18/09/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)