Sayyid Qutwub amesema:
“Kuhusiana na kulingana juu ya ´Arshi, tunaweza kusema ya kwamba maana yake ni kama uangalizi juu ya ulimwengu huu. Dalili ya hilo ni kujua kwetu kwa yakini kutoka katika Qur-aan juu ya kwamba Allaah hawezi kubadilika. Hawezi kuwa katika hali ambapo hakulingana juu ya ´Arshi kisha ndio alingane juu ya ´Arshi. Tunaamini kulingana pasina kujua namna yake. Maneno Yake (Ta´ala):
ثُمَّ اسْتَوَىٰ عَلَى الْعَرْشِ
“… kisha akalingana juu ya ´Arshi.” (07:54)
isifasiriwe. Lililo bora ni kusema kuwa ni kinaya ya uangalizi. Ufasiri hapa hauendi kinyume na mfumo ambao tumeuashiria karibuni kwa sababu haukujengwa juu ya uamuzi na msimamo wetu wenyewe; umejengwa juu ya Qur-aan yenyewe na msimamo unaowakilishwa na Dhati na Sifa za Allaah (Subhaanah). Kwa uumbaji na ulinzi kuna vilevile elimu ilioenea…”[1]
Jibu: Yote haya ni maneno haribifu.
Swali: Hathibitishi kulingana [al-Istiwaa´]?
Ibn Baaz: Hapana, hapana. Ndio maana ya ulinzi. Hii ina maana ya kwamba anapinga kulingana ambako kunajulikana ni juu ya ´Arshi. Ni batili. Ni jambo lenye kuthibitisha kuwa alikuwa ni mjinga katika kufasiri Qur-aan.
[1] Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan (7/125).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=dWV4V3pxYrk
- Imechapishwa: 26/08/2020
Sayyid Qutwub amesema:
“Kuhusiana na kulingana juu ya ´Arshi, tunaweza kusema ya kwamba maana yake ni kama uangalizi juu ya ulimwengu huu. Dalili ya hilo ni kujua kwetu kwa yakini kutoka katika Qur-aan juu ya kwamba Allaah hawezi kubadilika. Hawezi kuwa katika hali ambapo hakulingana juu ya ´Arshi kisha ndio alingane juu ya ´Arshi. Tunaamini kulingana pasina kujua namna yake. Maneno Yake (Ta´ala):
ثُمَّ اسْتَوَىٰ عَلَى الْعَرْشِ
“… kisha akalingana juu ya ´Arshi.” (07:54)
isifasiriwe. Lililo bora ni kusema kuwa ni kinaya ya uangalizi. Ufasiri hapa hauendi kinyume na mfumo ambao tumeuashiria karibuni kwa sababu haukujengwa juu ya uamuzi na msimamo wetu wenyewe; umejengwa juu ya Qur-aan yenyewe na msimamo unaowakilishwa na Dhati na Sifa za Allaah (Subhaanah). Kwa uumbaji na ulinzi kuna vilevile elimu ilioenea…”[1]
Jibu: Yote haya ni maneno haribifu.
Swali: Hathibitishi kulingana [al-Istiwaa´]?
Ibn Baaz: Hapana, hapana. Ndio maana ya ulinzi. Hii ina maana ya kwamba anapinga kulingana ambako kunajulikana ni juu ya ´Arshi. Ni batili. Ni jambo lenye kuthibitisha kuwa alikuwa ni mjinga katika kufasiri Qur-aan.
[1] Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan (7/125).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=dWV4V3pxYrk
Imechapishwa: 26/08/2020
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-ufasiri-wa-sayyid-qutwub-wa-kulingana-kwa-allaah-juu-ya-arshi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)