Swali: Je, mwanamke hukata swalah?
Jibu: Hapana, katika msikiti wa Madiynah na wa Makkah kunasamehewa kutokana na dharurah:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
”Mcheni Allaah muwezavyo.”[1]
Kwa sababu hiyo kwa mujibu wa maoni sahihi ya wanazuoni ni kwamba swalah haikatiki katika msikiti wa Madiynah na wa Makkah kutokana na msongamano.
[1] 64:16
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24868/هل-تقطع-المراة-الصلاة-في-الحرمين
- Imechapishwa: 26/12/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related
Bora mwanamke aswali nyumbani au Makkah na Madiynah?
Swali: Kipi bora kwa mwanamke anapokuwa Makkah na familia yake; aswali nyumbani au aswali katika msikiti Mtakatifu? Jibu: Haijalishi kitu Makkah wala Madiynah. Bora kwake ni yeye kuswali nyumbani. Isipokuwa ikiwa kama kuna haja kwa mfano kusikiliza mawaidha, ukumbusho na mihadhara. Sababu nyingine inaweza kuwa anahisi uvivu nyumbani na anapata…
In "Swalah ya mwanamke"
Swalah ya mwanamke kwenye chumba cha hoteli Makkah
Swali: Swalah ya mwanamke kwenye chumba cha hoteli nje ya msikiti Mtakatifu ni bora kuliko katika msikiti Mtakatifu? Jibu: Ndio. Huku ni kujisitiri zaidi. Kuswali kwake nyumbani ni kujisitiri zaidi. Ni bora zaidi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: "Msiwazuie wajakazi wa Allaah na misikiti ya Allaah. Nyumba zao…
In "Swalah ya mwanamke"
Sunnah kwa wakazi wa Makkah juu ya swalah ya ´iyd
Swali: Katika maelezo yangu ya chini ya kitabu kumeandikwa kwamba swalah ya ´iyd inaswaliwa katika uwanja wa wazi jangwani isipokuwa Makkah. Bora kwa wakazi wake wakaswali msikiti Mtakatifu. Jibu: Ndio, mambo ni hivo. Watu wa Makkah hawatakiwi kutoka. Wanatakiwa kuswali katika msikiti Mtakatifu. Hivi ndivo hali ilivyokuwa tokea wakati wa…
In "Swalah ya Idi"