Swali: Je, mwanamke hukata swalah?
Jibu: Hapana, katika msikiti wa Madiynah na wa Makkah kunasamehewa kutokana na dharurah:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
”Mcheni Allaah muwezavyo.”[1]
Kwa sababu hiyo kwa mujibu wa maoni sahihi ya wanazuoni ni kwamba swalah haikatiki katika msikiti wa Madiynah na wa Makkah kutokana na msongamano.
[1] 64:16
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24868/هل-تقطع-المراة-الصلاة-في-الحرمين
- Imechapishwa: 26/12/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)