Swali: Je, mwanamke hukata swalah?
Jibu: Hapana, katika msikiti wa Madiynah na wa Makkah kunasamehewa kutokana na dharurah:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
”Mcheni Allaah muwezavyo.”[1]
Kwa sababu hiyo kwa mujibu wa maoni sahihi ya wanazuoni ni kwamba swalah haikatiki katika msikiti wa Madiynah na wa Makkah kutokana na msongamano.
[1] 64:16
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24868/هل-تقطع-المراة-الصلاة-في-الحرمين
- Imechapishwa: 26/12/2024
Swali: Je, mwanamke hukata swalah?
Jibu: Hapana, katika msikiti wa Madiynah na wa Makkah kunasamehewa kutokana na dharurah:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
”Mcheni Allaah muwezavyo.”[1]
Kwa sababu hiyo kwa mujibu wa maoni sahihi ya wanazuoni ni kwamba swalah haikatiki katika msikiti wa Madiynah na wa Makkah kutokana na msongamano.
[1] 64:16
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24868/هل-تقطع-المراة-الصلاة-في-الحرمين
Imechapishwa: 26/12/2024
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-mwanamke-kukata-swalah-madiynah-na-wa-makkah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)