Swali: Machinjioni hutaja jina la Allaah kwa yule mnyama wa kwanza na wanyama wengine hawatajiwi jina la Allaah.
Jibu: Inatosha kama amenuia wote.
Swali: Mchinjaji anayechinja kwa mashine anataja na Allaah kwa yule mnyama wa kwanza na wanyama wengine hawatajiwi jina la Allaah.
Ibn Baaz: Anachinja kwa mkono wake au ni mashine ndio inachinja?
Mwanafunzi: Anachinja kwa mkono wake kwa kutumia mashine. Kwa maana nyingine mashine inazunguka na kila inapopita anachinja kwa mkono wake.
Ibn Baaz: Inatosha akitaja jina la Allaah juu ya wanyama wote. Akitaja jina la Allaah kwa yule mnyama wa kwanza na anawakusudia wote inatosha – Allaah akitaka, kwa sababu wanakufa wote mara moja.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24015/هل-تكفي-التسمية-لعدة-ذباىح-على-الاولى-منها
- Imechapishwa: 17/08/2024
Swali: Machinjioni hutaja jina la Allaah kwa yule mnyama wa kwanza na wanyama wengine hawatajiwi jina la Allaah.
Jibu: Inatosha kama amenuia wote.
Swali: Mchinjaji anayechinja kwa mashine anataja na Allaah kwa yule mnyama wa kwanza na wanyama wengine hawatajiwi jina la Allaah.
Ibn Baaz: Anachinja kwa mkono wake au ni mashine ndio inachinja?
Mwanafunzi: Anachinja kwa mkono wake kwa kutumia mashine. Kwa maana nyingine mashine inazunguka na kila inapopita anachinja kwa mkono wake.
Ibn Baaz: Inatosha akitaja jina la Allaah juu ya wanyama wote. Akitaja jina la Allaah kwa yule mnyama wa kwanza na anawakusudia wote inatosha – Allaah akitaka, kwa sababu wanakufa wote mara moja.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24015/هل-تكفي-التسمية-لعدة-ذباىح-على-الاولى-منها
Imechapishwa: 17/08/2024
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-machinjio-yanayotumia-mashine-katika-kuchinja/