Swali: Ni ipi hukumu ya kuyatembelea makaburi kufanya maalum siku ya ijumaa?
Jibu: Ni jambo lisilokuwa na msingi. Lililowekwa katika Shari´ah ni yule mwenye kuyatembelea makaburi ayatembelee wakati wowote itapokuwa sahali. Ni mamoja ikawa usiku au mchana. Kuhusu kuyatembelea siku maalum au usiku maalum ni Bid´ah isiyokuwa na msingi wowote. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Atayezusha katika amri yetu hii yasiyokuwemo yatarudishwa.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
“Atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu kitarudishwa.”
Ameipokea Muslim katika “as-Swahiyh” yake kutoka kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.binbaz.org.sa/fatawa/2718
- Imechapishwa: 15/10/2016
Swali: Ni ipi hukumu ya kuyatembelea makaburi kufanya maalum siku ya ijumaa?
Jibu: Ni jambo lisilokuwa na msingi. Lililowekwa katika Shari´ah ni yule mwenye kuyatembelea makaburi ayatembelee wakati wowote itapokuwa sahali. Ni mamoja ikawa usiku au mchana. Kuhusu kuyatembelea siku maalum au usiku maalum ni Bid´ah isiyokuwa na msingi wowote. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Atayezusha katika amri yetu hii yasiyokuwemo yatarudishwa.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
“Atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu kitarudishwa.”
Ameipokea Muslim katika “as-Swahiyh” yake kutoka kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.binbaz.org.sa/fatawa/2718
Imechapishwa: 15/10/2016
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-kuyatembelea-makaburi-siku-ya-ijumaa/