Swali: Ni ipi hukumu ya kutundika baadhi ya Aayah za Qur-aan au Hadiyth za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) zilizoko kwenye vibao ndani ya majumba?
Jibu: Ninavyoona ni kwamba kufanya hivi haijuzu kwa kuwa ni kuitia mitihanini Qur-aan na kwa sababu Qur-aan haikuteremshwa ili itundikwe kwenye kuta za Msikitini au majumbani. Imeteremshwa ili itendewe kazi na ihifadhiwe. Hili ndio lengo la kuteremshwa. Hivyo isitundikwe kwenye kuta za Misikitini au mfano wake. Inachotakiwa ni kutofanya hivyo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=6906
- Imechapishwa: 05/05/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya kutundika baadhi ya Aayah za Qur-aan au Hadiyth za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) zilizoko kwenye vibao ndani ya majumba?
Jibu: Ninavyoona ni kwamba kufanya hivi haijuzu kwa kuwa ni kuitia mitihanini Qur-aan na kwa sababu Qur-aan haikuteremshwa ili itundikwe kwenye kuta za Msikitini au majumbani. Imeteremshwa ili itendewe kazi na ihifadhiwe. Hili ndio lengo la kuteremshwa. Hivyo isitundikwe kwenye kuta za Misikitini au mfano wake. Inachotakiwa ni kutofanya hivyo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=6906
Imechapishwa: 05/05/2015
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-kutundika-aayah-za-qur-aan-kwenye-majumba-na-misikiti-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)