Swali: Inafaa kuzifanyia kazi Hadiyth za kuhamasisha ingawa ni dhaifu?
Jibu: Zikiwa hazipungui mbili basi inakuwa nzuri kutokana na zingine. Lakini ikiwa ni moja dhaifu haijengewi hoja. Hata hivyo inaweza kutajwa katika ubora wa matendo tu kwa ajili ya kushajiisha katika mambo ya kheri.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22789/ما-حكم-العمل-بالحديث-الضعيف-في-الرغاىب
- Imechapishwa: 24/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)