Swali: Kumsomea Suurah Yaa Siyn ambaye anataka kukata roho?
Jibu: Hapana neno – Allaah akitaka. Ni Hadiyth ambayo wako kikosi cha wanazuoni walioidhoofisha na wengine wakaisahihisha. Akimsomea anayetaka kukata roho Suurah Yaa Siyn hapana neno – Allaah akitaka.
Swali: Wakati wa kusoma “Buluugh-ul-Maram” kana kwamba umeidhoofisha Hadiyth hiyo?
Jibu: Kuna udhaifu katika Hadiyth hiyo. Katika cheni yake kuna Abu ´Uthmaan ambaye kuna maoni tofauti juu yake. Hata hivyo jambo ni jepesi kwa atakayeisoma kwa kujengea maoni ya ambao wameisahihisha Hadiyth hii.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23278/حكم-قراءة-سورة-يس-على-المحتضر
- Imechapishwa: 19/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)