Swali: Katika Ramadhaan kile hufanywa na baadhi ya watu kinachoitwa “Chakula cha wazazi” ambapo kunachinjwa baadhi ya kondoo na kuwapa masikini na wahitaji?
Jibu: Ni swadaqah, hapana vibaya na kizuizi. Ni swadaqah katika Ramadhaan. Inapokuja Ramadhaan huongezeka thawabu zake. Hivyo ikiwa atachinja na kugawa hiyo kwa masikini, kwa niaba yake mwenyewe, watu wa nyumbani kwake au wote wao hali ya kutafuta fadhilah za Ramadhaan au siku kumi za Dhul-Hijjah, hakuna tatizo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25037/حكم-ما-يسمى-بعشاء-الوالدين
- Imechapishwa: 26/01/2025
Swali: Katika Ramadhaan kile hufanywa na baadhi ya watu kinachoitwa “Chakula cha wazazi” ambapo kunachinjwa baadhi ya kondoo na kuwapa masikini na wahitaji?
Jibu: Ni swadaqah, hapana vibaya na kizuizi. Ni swadaqah katika Ramadhaan. Inapokuja Ramadhaan huongezeka thawabu zake. Hivyo ikiwa atachinja na kugawa hiyo kwa masikini, kwa niaba yake mwenyewe, watu wa nyumbani kwake au wote wao hali ya kutafuta fadhilah za Ramadhaan au siku kumi za Dhul-Hijjah, hakuna tatizo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25037/حكم-ما-يسمى-بعشاء-الوالدين
Imechapishwa: 26/01/2025
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-kuchinja-ramadhaan-kwa-ajili-ya-wazazi-wawili-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)