Swali: Maoni sahihi kuhusu kuashiria kidole kidogo katika kikao baina ya Sujuud mbili na kutikisa kidole kidogo?
Jibu: Ni Sunnah katika Tashahhud. Atapokuwa ameketi baina ya sijda mbili ataweka mikono yake juu ya mapaja yake au juu ya magoti yake. Upokezi huo unahitaji kuangaliwa vyema, kwa sababu unapingana na Hadiyth ambazo ni Swahiyh.
Swali: Mtu hawezi kusema kuwa baadhi ya nyakati ni Sunnah kuashiria kidole?
Jibu: Kinachotambulika katika Hadiyth Swahiyh ni kwamba kinatandazwa juu ya mapaja na magoti baina ya Sujuud mbili. Kidole cha shahaadah kitaashiriwa katika Tashahhud.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23669/ما-السنة-في-هيىة-الاصابع-بين-السجدتين
- Imechapishwa: 26/03/2024
Swali: Maoni sahihi kuhusu kuashiria kidole kidogo katika kikao baina ya Sujuud mbili na kutikisa kidole kidogo?
Jibu: Ni Sunnah katika Tashahhud. Atapokuwa ameketi baina ya sijda mbili ataweka mikono yake juu ya mapaja yake au juu ya magoti yake. Upokezi huo unahitaji kuangaliwa vyema, kwa sababu unapingana na Hadiyth ambazo ni Swahiyh.
Swali: Mtu hawezi kusema kuwa baadhi ya nyakati ni Sunnah kuashiria kidole?
Jibu: Kinachotambulika katika Hadiyth Swahiyh ni kwamba kinatandazwa juu ya mapaja na magoti baina ya Sujuud mbili. Kidole cha shahaadah kitaashiriwa katika Tashahhud.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23669/ما-السنة-في-هيىة-الاصابع-بين-السجدتين
Imechapishwa: 26/03/2024
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-kuashiria-kidole-baina-ya-sijda-mbili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)