Swali: Hadiyth zinazosema mtu anatakiwa kusema ”Bismillaah” kabla ya kuanza kutawadha njia zake zote ni dhaifu.
Jibu: Baadhi yao wameona kuwa ni nzuri. Kwa msemo mwingine ni kwa minajili ya nzuri kutokana na nyenginezo. Mfano wa wanazuoni hao ni Ibn-us-Swalaah na Ibn Kathiyr (Rahimahu Allaah) katika kitabu chake cha ”at-Tafsiyr” ambaye amesema kuwa ni nzuri na katika tafsiri ya Suurah ”al-Maaidah”.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25156/ما-صحة-حديث-البسملة-في-الوضوء
- Imechapishwa: 08/02/2025
Swali: Hadiyth zinazosema mtu anatakiwa kusema ”Bismillaah” kabla ya kuanza kutawadha njia zake zote ni dhaifu.
Jibu: Baadhi yao wameona kuwa ni nzuri. Kwa msemo mwingine ni kwa minajili ya nzuri kutokana na nyenginezo. Mfano wa wanazuoni hao ni Ibn-us-Swalaah na Ibn Kathiyr (Rahimahu Allaah) katika kitabu chake cha ”at-Tafsiyr” ambaye amesema kuwa ni nzuri na katika tafsiri ya Suurah ”al-Maaidah”.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25156/ما-صحة-حديث-البسملة-في-الوضوء
Imechapishwa: 08/02/2025
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-basmalah-kabla-ya-wudhuu/